ramadhan njala

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. DuaZaMama

    PreGE2025 Ramadhani Njala atangaza nia kugombea Ubunge Jimbo la Geita Vijijini kwa tiketi ya ACT Wazalendo

    Kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwezi Oktoba mwaka huu, Ramadhan Njala Jumanne ameweka wazi nia ya kugombea ubunge katika Jimbo la Geita vijijini kupitia chama cha ACT Wazalendo. Bw. Ramadhan ameweka wazi baadhi yaa vipaumbele vyake ambapo amesema lengo lake kubwa ni kuhakikisha...
Back
Top Bottom