Serikali ya Burkina Faso imesema imefanikiwa kuzuia jaribio la mapinduzi dhidi ya Rais Ibrahim Traoré, ikimtuhumu aliyekuwa rais wa mpito, Luteni Kanali Paul-Henri Sandaogo Damiba, kuwa mpangaji mkuu wa njama hiyo.
Waziri wa Usalama, Mahamadou Sana, amesema mpango huo ulihusisha mauaji ya...