Rais wa Uganda, Yoweri Museveni atawania kuchaguliwa tena kwa muhula mwingine wa uchaguzi unaotarajiwa mapema mwaka ujao ili kuongeza utawala wake wa takriban miongo minne, kulingana na afisa mkuu kutoka chama tawala.
Ingawa alitarajiwa kugombea tena wadhifa huo, ni uthibitisho wa kwanza kutoka...