rahma mwita

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    GE2025 Rahma Mwita (ACT-Wazalendo): Uchaguzi umegeuka uchafunzi, wasimamizi Mafia hawataki kuwaapisha mawakala wa upinzani

    UCHAGUZI UMEGEUKA UCHAFUZI TENA. JIMBO LA MAFIA Wasimamizi wamekimbia vituo hawataki kuwaapisha Mawakala wa Vyama vya upinzani wanasema wamechelewa na muda wamepanga wao. Hivi ndivyo mlivyowanoa wakimbie vituo. Mtakiona oktoba 29 Pia soma > ACT Wazalendo: Tunaenda kwenye uchaguzi tukiwa hatuna...
  2. Waufukweni

    GE2025 Rahma Mwita: Wanasiasa wanawake wanapitia ukatili mtandaoni, acheni matusi dhidi yao

    Mgombea Ubunge Jimbo la Kinondoni kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Rahma Mwita amewataka wanaofuatilia siasa mitandaoni kuacha tabia ya kutukana viongozi kwa sababu ni udhalilishaji wa mwanamke na wazazi wao wenyewe.
  3. BigTall

    GE2025 Rahma Mwita wa ACT achukua fomu ya kuwania Ubunge - Kinondoni atoa ahadi ya kuboresha huduma za afya kwa Mama na mtoto

    Mgombea wa Ubunge kupitia Chama cha ACT Wazalendo katika Jimbo la Kinondoni, Rahma Mwita ameahidi kuwekeza nguvu zake katika kuboresha huduma za kijamii na miundombinu endapo wananchi watampa ridhaa ya kuwaongoza. Hayo ameyabainisha Agosti 24, 2025 mara baada ya kuchukua fomu katika Ofisi za...
  4. Chachu Ombara

    ACT Wazalendo: Kufungiwa kwa Gazeti la Mwananchi Mtandaoni ni kuminya Uhuru wa Habari

    KUFUNGIWA KWA GAZETI LA MWANANCHI MTANDAONI NI KUMINYA UHURU WA HABARI ACT Wazalendo tunapinga vikali kufungiwa kwa gazeti la Mwananchi Mtandaoni na kuitaka Serikali kupitia Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kuondoa zuio hilo ili gazeti liendelee kutoa huduma ya habari kwa umma...
Back
Top Bottom