Wana JamiiForums (Wanabodi) habari zenu,
Nimekutana na taarifa hizi za kusikitisha kuhusu kifo cha nguli na muasisi wa mchezo wa mieleka hapa nchini, Mzee Samson Mabula, maarufu kama 'Power Mabula'. Amefariki dunia mkoani Morogoro siku ya Jumatano.
Kwa mujibu wa msemaji wa familia ambaye pia...