poul makonda

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mvinyo mpya

    PreGE2025 Paul Makonda anaandaliwa kuwa Waziri Mkuu?

    Huyu jamaa simkubali kwa tabia zake za dharau na ubabe ila naona atakua waziri Mkuu. Atadhalilisha sana mawaziri wenzake.
  2. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Paul Makonda achukua fomu ya kuwania Ubunge Jimbo la Arusha Mjini

    Haya sasa kumeanza kuchangamka sasa! Makonda huyooo!, huku ni kimzoom kwa mbali Mrisho Gambo ======================= Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Christian Makonda, amechukua rasmi fomu ya kuwania Ubunge wa Jimbo la Arusha Mjini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kupata matukio na...
  3. MSAGA SUMU

    PreGE2025 Lema, Makonda na Gambo vijana watatu wanaochukiana kutoka kwenye uvungu wa mioyo yao

    Siasa za Arusha ni tofauti kidogo. Lema hampendi Makonda, Makonda hampendi Gambo, Gambo hampendi Lema, Lema hawapendi hao wote wawili. Makonda anawachukia wote, Gambo anawachukia pia yaani ni vurugu ile balaa. Wote wanapenda mitandao na attention. Halafu ilivyo bahati mbaya wote wamejikuta...
Back
Top Bottom