Mchambuzi Skawa Jr. amehoji baada ya Mbunge wa Iramba Mashariki, Francis Mtinga, akichangia Mjadala wa bajeti ya Wizara ya Afya jana Juni 2, 2025 kuomba Watanzania kukatwa kiasi cha Tsh 100 kwenye kila vocha ya 1000 atakayonunua ili kuchangia huduma za afya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.