Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini, Patrick Mwalunenge, ameitaka Serikali kurasimisha sekta isiyo rasmi inayohusisha wamachinga, madereva wa bodaboda na bajaji kwa kuwa makundi hayo yana mchango mkubwa wa kifedha kuliko inavyofikiriwa.
Akichangia bungeni Juni 19, 2026, Mwalunenge alifafanua kuwa...