Wakuu,
Tusubirie kusikia na huyu ameshambuliwa kwa sababu ya kusema ukweli? Tusubiri kusikia na huyu amepigwa vibaya na kuchukuliwa na watu wasiyojulikana sababu amesema ukweli?
Wataumiza na kuua wangapi mpaka wajue hawawezi kunyamazisha watu kusema kweli isipokuwa tu kwa kubadilisha mienendo...
agenda
father
kuelekea 2025
kusema
mama samia
mungu
padrimuchunguzipadrisamwelmuchunguzi
samia
siasa
siasa na dini
siasa za tanzania
watumishi
watumishi wa mungu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.