nra

The Nimrod NRA/C2 was the only Group C racing car ever built by Nimrod Racing Automobiles in partnership with Aston Martin. It ran initially in 1982 in the World Endurance Championship before also joining the IMSA GT Championship. The final NRA/C2 would be retired in 1984 after the planned NRA/C3 replacement had been cancelled, and the company went bankrupt.

View More On Wikipedia.org
  1. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 NRA Zanzibar yaahidi kuwawezesha vijana kuoa wake zaidi ya mmoja

    Vijana wa kiume tuhamine Zenji tukaoe wake wengi :cool::D:D ============================ Mgombea Urais kwa tiketi ya NRA Zanzibar, Khamis Faki Mgau ameahidi kuwawezesha vijana kuoa wake zaidi ya mmoja pamoja na kuwalipa mshahara ili waweze kujikimu kimaisha.
  2. DuaZaMama

    GE2025 Mgombea Urais NRA: Tutatunga sheria ngumu dhidi ya ushoga

    Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha National Reconstruction Alliance (NRA), Hassan Almas, ameahidi kuwa iwapo chama chake kitapewa ridhaa ya kuongoza nchi, serikali yake itatungua sheria kali dhidi ya mapenzi ya jinsi moja ndani ya siku 30 baada ya kuundwa kwa...
  3. W

    GE2025 Mgombea Urais kupitia NRA aahidi kulibadili jina Jeshi la polisi, kuwa Police service

    Mgombea wa Kiti cha Urais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania wa Chama cha National Reconstruction Alliance (NRA) Hassan Almas, amesema ndani ya siku thelethini baada ya kupewa ridhaa ya kuwa Rais wa Tanzania atafanya maboresho makubwa kwenye sekta mbalimbali hapa nchini ikiwa ni pamoja na...
  4. tonicimmobility

    Almas (NRA): Nitawalipa Watanzania wote GB 200 kama fidia ya bando walizowaibia kwa miaka yote, mkinichagua kuwa Rais

    Mgombea uraisi kupitia ticket ya Chama cha National Reconstruction Alliance (#NRA) Hassan Almas amewaahidi watanzania kuwa baada ya kuwa Rais atawalipa watanzania wote GB 200 kama fidia kwa wizi wa bando uliokuwa ukifanyika miaka yote ya nyuma. Ameyazungumza hayo leo Septemba 05, 2025 alipokuwa...
  5. Cute Wife

    LGE2024 Katibu Mkuu NRA: Sasa hivi yamekuwa maigizo kila mtu anasema katekwa, Uchaguzi ulikuwa wa Huru na Haki

    Wakuu, Mwakani kazi ipo, kama watu kama hawa ndio wanaongoza wengine kugombea nafasi mbalimbali za kuwakilisha wananchi! ==== Katibu Mkuu wa Chama cha NRA, Hassan Kisabya Almas amesema kuwa uongozi wa chama hicho umekaa, kujadili na kuona kwamba uchaguzi wa serikali za mitaa ulikua huru...
Back
Top Bottom