Habar wakuu
Nimekuja kwenu nina akiba hapa ya Milioni 40
Nimekuja kwenu kama wataalamu wa uwekezaji au wazoefu wa uwekezaji mpo
Nishaurini kati ya kununua hisa CRDB, NMB na kuwekeza UTT, niwekeze sehemu ipi kati ya hizo
Maana nafanya shughuli zangu zingine zabiashara kama kawaida ila Nina...