Wakuu, leo nimeamka na nyuzi za mambo yangu binafsi yanayonisibu.
Wakuu mimi na mke wangu ndoa yetu ina miaka kadhaa, ipo hivi huyu mwanamke tunajuana nae na tulikua marafiki tokea tukiwa chuo.Baada ya kumaliza chuo nikaoa mwanamke mwingine lakini tukashindwana nae (Niliwahi kuleta uzi hapa)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.