Habari? Je, Kuna uwezekano mchumba yuko Tanzania na mchumba mwingine yuko japan halafu mchumba aliye Tanzania na na wadhamini wake na WAZAZI wa pande mbili wakaenda kwa ofisi ya DC na wakafanya ndoa kutumia online platform zoom su google meet mbele ya bwana harusi na mpambe wake?vyeti vikatumwa...