nchi imeuzwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Waufukweni

    PostGE2025 Asenga: Rais kumteua mtoto wake (Wanu) imekuwa Nongwa; eti nchi imeuzwa. Hivi, mkimuangalia Abdul na wema wake ule, kweli anaweza kuuza nchi yetu?

    “Rais Samia Kumteua Mtoto wake (Wanu Hafidh Ameir) Kuwa Naibu Waziri imekuwa Nongwa kila siku Mnasema Mtandaoni, Eti Nchi imeuzwa, Hivi kweli mkimuangalia Abdul na wema wake ule anavaa Sandal na Kanzu atauza Nchi yetu.?, Walisema hivyo hivyo wakati wa Ridhiwani” Abubakar Asenga, Mbunge wa...
  2. tonicimmobility

    Wajumbe mnawachagua watu wenu na CCM inawaweka vibarakara wao ili viwasaidie kuiba mali za umma, mnaonekana mazuzu, mnadharauliwa sana

    Siku hizi CCM haisikilizi tena mawazo ya wananchi, wajumbe wanachagua watu wao wanaowataka ili wawaongoze alafu CCM inakuja inawatoa na kuwaweka watu wao ambao tayari walishakuwa wamepanga kuwaweka. Hii hali inaondoa maana ya kuwepo kwa mchakato wa wajumbe kuwapendekeza watu wao. Kama CCM...
  3. tonicimmobility

    Kwahii speed hii ya Polepole hawa kuku ngbendu wa za BANGA hii miezi 2 wataiona miaka 30

    Polepole sio pole tena, usiku huhuu tayari kashawalipua CCM na mume wao Rostam Azizi. Utajiri wa nchi anakabidhiwa Rostam alafu utamskia mama anasema analinda mali za nchi kwa maslahi mapana ya umma, Polepole anauliza maslahi gani hayo mapana? Leo katukumbusha tena kuwa tumeuzwa tumepigwa bei...
Back
Top Bottom