Habari za humu wakuu,,Mimi ni muhitimu wa shahada ya Taaluma ya Maendeleo (BA-DS) kutoka University of Dodoma mwaka 2022.
Lengo la kuandika huu uzi ni kuomba connection ya nafasi kujitolea kwenye Taasisi za serikali au Taasisi binafsi,itakuwa vizuri ikiwa mkoa wa Mbeya hasa mbeya mjini...
Habari wanajf,
Nina mdogo wangu kahitimu chuo kikuu kada ualimu masomo English na Kiswahili anaishi Dar es Salaam na Tanga
Hivyo basi kama kuna mwenye connection ya shule yoyote ya private katika mikoa hiyo naomba msaada wa kuniunganisha mdogo wangu apate nafasi ya kufundisha. Kuhusu level ya...
Habari wakuu.
Nipo DSM kwa sasa nahitaji Shule kwa ajili ya kujitolea. Nina uwezo wa kufundisha masomo yafuatayo;
English
Civics
Kiswahili.
Elimu yangu ni Degree
Hivyo natafuta Shule ya kujutolea kwa sasa hivi.
Call 0658124288.
Wakuu habari natafuta nafasi ya kujitolea katika kampuni yoyote au biashara yoyote inayoweza nipatia uzoefu wa kazi natafuta uzoefu katika fani ya Kodi au uhasibu.
Nipo mbeya nina shahada ya usimamizi wa Kodi (bachelor of science in tax management
Mawasiliano: fadhirimwakaselo@gmail.com...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.