Jamani tuendelee kuwaombea wenzetu mashariki ya kati watu wasio na hatia wanateseka.
vita sio vizuri, watoto wanateseka sana, naandika hapa machoz yananitoka. wakati nikiwa secondary nilisoma kazi moja wapo ya UNO, iliyo anzishwa mwaka 1945 nilikariri neno moja tu "To promote peace in the...