Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kigamboni kwa tiketi ya ACT Wazalendo, Wakili Mwanaisha Mndeme, amefanya kikao cha ndani na wakazi wa Mjimwema ikiwa ni sehemu ya kampeni kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika tarehe 29 Oktoba 2025.
Katika kikao hicho, Mndeme alikutana na makundi mbalimbali ya...
Mchakamchaka wa kuomba kuteuliwa Kugombea Ubunge katika Jimbo la Kigamboni Jijini Dar es salaam zimeanza kupamba moto ambapo leo Katibu wa Idara ya Mambo ya nje ya chama cha Act-Wazalendo Wakili MWANAISHA MNDEME amechukua fomu ya kuomba Chama hicho kumpa ridhaa ya kugombea katika Uchaguzi Mkuu...
Wakili Mwanaisha Mndeme ambaye ni Katibu wa Idara ya Mambo ya Nje ya ACT Wazalendo, na Waziri Kivuli Viwanda na Biashara wa chama hicho, leo tarehe 6 Februari 2025 ametangaza nia ya kugombea ubunge wa Jimbo la Kigamboni mkoani Dar es Salaam katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu.
Wakili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.