mwanaisha mndeme

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mafyangula

    GE2025 Mwanaisha Mndeme ahidi Mikopo ya 10% na Elimu ya Ujasiriamali kwa Wajasiriamali Wadogo Jimbo la Kigamboni

    Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kigamboni kwa tiketi ya ACT Wazalendo, Wakili Mwanaisha Mndeme, amefanya kikao cha ndani na wakazi wa Mjimwema ikiwa ni sehemu ya kampeni kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika tarehe 29 Oktoba 2025. Katika kikao hicho, Mndeme alikutana na makundi mbalimbali ya...
  2. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Mwanaisha Mndeme aomba kuteuliwa kugombea ubunge Kigamboni

    Mchakamchaka wa kuomba kuteuliwa Kugombea Ubunge katika Jimbo la Kigamboni Jijini Dar es salaam zimeanza kupamba moto ambapo leo Katibu wa Idara ya Mambo ya nje ya chama cha Act-Wazalendo Wakili MWANAISHA MNDEME amechukua fomu ya kuomba Chama hicho kumpa ridhaa ya kugombea katika Uchaguzi Mkuu...
  3. Mindyou

    PreGE2025 Wakili Mwanaisha Mndeme atangaza kugombea Ubunge jimbo la Kigamboni kupitia ACT Wazalendo. Ataweza kumrithi Ndugulile?

    Wakili Mwanaisha Mndeme ambaye ni Katibu wa Idara ya Mambo ya Nje ya ACT Wazalendo, na Waziri Kivuli Viwanda na Biashara wa chama hicho, leo tarehe 6 Februari 2025 ametangaza nia ya kugombea ubunge wa Jimbo la Kigamboni mkoani Dar es Salaam katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu. Wakili...
Back
Top Bottom