Habarini raia.
Najiuliza kwann kuna watu huwa wanapenda makelele muda wote. Unakuta mtu labda anakaa nyumba ya kupanga ambayo kuna wapangaji wengine eneo hilo, akifika yeye atafungulia muziki kwa sauti ya juu ambayo ni kero kwa wengine. Atafungua na mlango kabisa as if mliomba awafungulie...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.