Fanya vyote kosoa, tukana ila usijaribu kumgusa kipenzi cha mama.
Hata utani au mifano hataki
1.Lisu alimwandama Abduli ati alimpelekea furushi la pesa kama hongo, Sasa yupo Ukonga na kesi mbaya ya uhaini
2 Bon yai alithubutu kuropoka kilichomkuta, saiv amepoa mno
3. Gwajima akamtolea mfano...