mtoto kuzaliwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Dr isaya febu

    Mtoto Kuzaliwa Na Korodani Moja

    Mtoto kuzaliwa na korodani moja ni hali ambapo mtoto ana korodani moja tu iliyoshuka kwenye mfuko wa korodani (scrotum), wakati korodani nyingine inaweza kuwa haijashuka (undescended), haipo, au imeondolewa. Hali hii inajulikana pia kama monorchism. Athari Za Kuzaliwa Na Korodani Moja: Athari...
  2. Mstahiki Mea

    Mtoto kuzaliwa na Mzazi kufariki kuna ukweli wa hili jambo?

    Hivi kunaweza kuwa na chembe chembe za ukweli kwa wale wajuzu wa mambo kuwa kuna watoto wanazaliwaga na hali fulani kuwa ili waishi nilazima mzazi mmoja afe , unakuta kipindi mtoto anazaliwa either baba au mama atafariki kwa namna yoyote ile. Najua inaweza kuwa storI ya kijiweni lakini embu...
  3. W

    Kuna haja ya kuanzisha utamaduni mpya wa kuchukulia ni jambo la kawaida mwanamke kuzaa, kuwepo sherehe, pongezi na zawadi baada ya DNA TEST

    Ni utamaduni wa waafrika wengi kuwa strict sana kwenye kulea damu zao ndio maana huwa wanaumia sana wakigundua watoto ni wa nje. Mfano kwenye kabila letu (nisingependa kulitaja), naambiwa hapo zamani ilikuwa kaka akitembea na mke wa ndugu yake, haikuleta shida, cha muhimu kilikuwa damu iwe...
  4. kimara Kimara

    Nini cha kuzingatiwa pindi mtoto mchanga anapozaliwa

    Habari za Muda Huu waungwana, Kwa wale Mliowahi kupata Watoto, mkawakuza mpaka Wakakua na afya njema, Mlizingatia mambo yapi Pindi walipozaliwa? Mimi niliwahi kupata mtoto, Bahati mbaya akafariki, Ninaomba kujuzwa wa wenye uzoefu ni mambo gani Muhimu kuzingatia. Mambo baadhi ninayohutaji...
Back
Top Bottom