Salaams kwa jamii, nataka kupanda michongoma kama fence ya shamba langu.
Nimewahi sikia unaweza kukata vipande vya mti huo na ukavipanda vikaota, sijui kama kuna ukweli?
Lakini pia natafuta mbegu zake maana najua ni uhakika zaidi.
Nimekuja kwa ushauri na kama unazo mbegu tuwasiliane kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.