Wakuu nimeambiwa mshahara wa Clement Mzize ni Milioni 40 kwa Mwezi
Ndiye mchezaji ghali zaidi Tanzania?
Hongera Ghalib Said Mohamed (GSM),
Pia Mtangazaji wa Azam TV, Mzinga jana alidokeza hivyo.
Kama ni hivyo hongera sana kwa wachezaji wazawa sasa mpira unalipa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.