msajili vyama vya siasa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. McLaren

    GE2025 Monalisa wa ACT Wazalendo aandika barua kwa Msajili wa Vyama Vya Siasa kupinga Luhaga Mpina kuteuliwa kama mgombea Urais

    Katibu mwenezi ACT Wazalendo mkoa wa Dar es salaam Monalisa Ndala leo Agosti 19, 2025 ameandika Barua kwa Msajili wa vyama vya Siasa Nchini kama mlezi wa vyama vya siasa. Hiyo ni hatua ya pili mara baada ya mara ya kwanza kuandika Barua kwa Katibu wa Chama Cha ACT wazelendo, Kupinga Mhe. Luhaga...
  2. Waufukweni

    GE2025 Tundu Lissu: Msajili wa Vyama, hana mamlaka kufungia/kufuta vyama chini ya muda wa miezi 12 kuelekea Uchaguzi Mkuu

    "Msajili wa Vyama vya Siasa, Serikali au Mahakama kuzuia CHAMA cha SIASA kufanya shughuli za Siasa kwenye mwaka wa Uchaguzi." Soma, Pia: Kesi ya uhaini inayomkabili Lissu yaahirishwa hadi Julai 15 2025 Amesema hayo leo Julai 1, 2025 Mahakamani wakati akifafanua hoja kwenye shauri la uhaini...
  3. Fernandez ERA

    Endapo CHADEMA itakaidi kutekeleza maamuzi na Maelekezo ya Msajili wa Vyama vya siasa nchini, inaweza kuchukuliwa hatua zifuatazo

    "Endapo Chadema itakaidi kutekeleza maamuzi na Maelekezo ya Msajili wa Vyama vya siasa nchini, inaweza kuchukuliwa hatua zifuatazo. 1, Kuzitaka Mamlaka husika zichukue hatua za kisheria za kijinai kwa mujibu wa kifungu cha 8B cha sheria ya Vyama vya siasa kwa wahusika wanaojinasibu kuwa...
  4. KakaKiiza

    Kuelekea Uchaguzi mpya 2025 CHADEMA itakuwa imegawanyika na ajabu mchakato upo kwa msajili wa vyama!!

    Wakuu hali si.......hali!! Kutokana vuta nikuvute iliyopo katika CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO kwa sasa ni zao la uchaguzi mkuu uliofanyika hikaribuni ndani ya CHADEMA na Antipas Tundu Lisu kuibuka mshindi kwa kishindo na mbwaga mpinzani wake Ndugu Aikaeli Freeman Mboe kwa kishindo kikubwa...
  5. 4

    Kwako Msajili wa Vyama vya Siasa; Ifute mara moja CCM, imekosa kibali cha kuongoza

    Wakuu Mbingu zimeitika, niwasalimu kila mmoja kwa imani yake, hivyo hivyo neema ya Mungu ikawe juu yenu ,kila mmoja kwa imani yake Popote ulipo. Rejea mada tajwa hapo juu , Leo namtaka msajili wa vyama vya siasa nchini tz kukifutilia mbali chama cha CCM nchini kama chama cha siasa. Machawa...
  6. waziri2020

    PreGE2025 Msajili wa Vyama vya Siasa alalamikiwa kusimamia uchaguzi feki wa TLP

    Wanachama wa chama cha Tanzania Labour Part {TLP} wamemtaka msajili wa vyama vya siasa kuacha kushirikiana na katibu mkuu wa chama hicho Limo kukiingiza chama katika mgogoro na wanachama wake walioko mikoani . Wakiongea na msajili wa vyama Sisty Nyahoza kwa njia ya simu wamemtaka kuacha...
  7. J

    Tundu Lisu: Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa iliundwa Ili Kudhibiti Upinzani ndio sababu CCM haijasajiliwa na Msajili hivyo hawezi kuwafanya lolote

    Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Antipas Lisu amesema ukisoma sheria ya Vyama vya Siasa utagundua Msajili wa Vyama vya Siasa hana nguvu yoyote ya kuishughulikia CCM kwa sababu haikusajiliwa na ofisi yake Lisu amesema CCM ilisajiliwa kwa sheria ya mkoloni wakati ikiwa TANU na ndivyo ilivyo...
  8. R

    Je, Msajili wa vyama vya siasa na Polisi wametoka kwenye kikao cha pamoja kuhusu siku ya vijana Duniani?

    Kauli ya msajili ya vyama vya siasa na Jeshi la polisi kuhusu BAVICHA ina kila dalili kwamba watu hawa wamekaa kikao cha pamoja na kutoka na maazimio. Kwa mtizamo wangu inaleta picha kwamba UVCCM wameshindwa kuandaa wanasiasa. Tumeona Zanzibar kwamba ilibidi Rais awepo ndipo agenda zao ziweze...
  9. Cute Wife

    PreGE2025 Kwanini CCM mnafanya kampeni wazi wazi wakati muda wa kampeni bado? Msajili wa Vyama vya Siasa hulioni hili?

    Wakuu salaam, Kwa uelewa wangu kampeni huanza rasmi kwenye tarehe inayotangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi, na hii huwa ni kwenye mwaka wa uchaguzi kwa ngazi ya Wabunge. Lakini pia baada ya mbunge kuchaguliwa, wewe unakuwa mbunge wa wananchi wote, kama unahutubia wananchi inamaanisha...
Back
Top Bottom