mpina ampongeza rais

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Parabolic

    GE2025 ACT Wazalendo yasisitiza Mpina ni mgombea urais

    Wakati Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) ikisisitiza kuwa kuwa Luhaga Mpina sio mgombea urais wa.Jamhuri ya Muungano kwa kuwa alienguliwa, chama cha ACT Wazalendo kimesema bado Mpina ni mgombea wao mpaka kesi mbili zilizofunguliwa ziamuliwe. Mpina alienguliwa Septemba 15, 2025 baada ya INEC...
  2. Etwege

    Mpina ampongeza Rais Samia kwa kumuondoa January Makamba TANESCO, alihusika na ufisadi wa kutisha

    Mbunge asiyepoa wa jimbo la Kisesa wilaya Meatu Mh Mpina akichangia bajeti ya wizara ya Nishati na madini amempongeza Rais Samia kwa kumfukuza waziri January Makamba kwenye wizara hiyo kwani alihusika na dili na ufisadi mkubwa sana kwenye wizara hiyo. Mfano wa ufisadi ni kuajiri wafanyakazi 6...
Back
Top Bottom