Wakuu habarini za jioni
Nipo napitia Bible hapa kuna kitu kimenitatiza kidogo
Swali langu..wakati mussa yupo mlima sinai akiwa anapokea amri za mungu.
Huku jamii alioiacha walianza kuchonga sanamu kuabudu
Je, hawa watu walitenda dhambi? Kwa kuabudu miungu wengine
Sasa kama walitenda dhambi...