Wakuu,
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), Dkt. Ayub Rioba Chacha, ameitaka jamii kutambua kuwa shirika hilo ni mali ya umma na si mali ya chama chochote cha siasa.
Hata hivyo, amesisitiza kuwa ni muhimu kufahamu kuwa kwa chama kilichopo madarakani pamoja na serikali yake...
Jana Waziri Mkuu Feki anatoka anatoa takwimu za uharibifu wa mali uliofanyika kipindi cha uchaguzi.
Ametaja magari ya serikali, magari binafsi, vituo vya polisi, nk. Tuache kwanza hoja ya usahihi wa hizo takwimu ambazo zinatia shaka.
Cha kushangaza wakati yote hayo yanatokea, kituo cha taifa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.