Urejeshaji fomu za kugombea urais umekamilika leo katika ofisi za Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), ambapo mgombea urais kupitia ACT-Wazalendo, Luhaga Mpina, alizuiwa kuingia kutokana na kukosa vigezo.
Kwa mujibu wa kanuni za chama hicho, mgombea wa nafasi ya urais anatakiwa awe mwanachama...
Dr. Wilson Mahera Charles, alikuwa Mkurugenzi wa Uchaguzi, Tume ya Taifa ya Uchaguzi kipindi cha Magufuli, Samia alipoingia akampa cheo cha Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia.
Kaiacha hiyo kazi kaenda kwenye mchakato wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kuwania kuteuliwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.