mkurugenzi tume ya uchaguzi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Waufukweni

    GE2025 INEC yapitisha vyama 17 kuwania Urais Oktoba 29, 2025

    Urejeshaji fomu za kugombea urais umekamilika leo katika ofisi za Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), ambapo mgombea urais kupitia ACT-Wazalendo, Luhaga Mpina, alizuiwa kuingia kutokana na kukosa vigezo. Kwa mujibu wa kanuni za chama hicho, mgombea wa nafasi ya urais anatakiwa awe mwanachama...
  2. figganigga

    GE2025 Aliyekuwa Mkurugenzi wa Uchaguzi, Tume ya Taifa ya Uchaguzi kipindi cha Magufuli, Dr. Wilson Mahera Charles anagombea Ubunge wa CCM

    Dr. Wilson Mahera Charles, alikuwa Mkurugenzi wa Uchaguzi, Tume ya Taifa ya Uchaguzi kipindi cha Magufuli, Samia alipoingia akampa cheo cha Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia. Kaiacha hiyo kazi kaenda kwenye mchakato wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kuwania kuteuliwa...
Back
Top Bottom