Times have really changed.
Huko nyuma ikitokea baba/mama akawa na mchepuko basi alikuwa infanyika siri kubwa na michepuko walikuwa treated kwa nafasi ya makahaba waliochangamka. Lakini michepuko nayo ilijua nafasi, most of them hawakutaka kuvuka mstari wa boundary yao.
Ila sasa hivi, michepuko...
Mimi ni mtu mzima miaka 30 nina mke wa miaka 25 nina watoto 2 katika ndoa ya miaka 6 mpaka sasa.
Ndugu zanguni nina hasira nina hasira nina hasira sana Mungu tu anisimamie nisingie dhambini.
Kwa kifupi siku za hivi karibuni kama miezi 5 iliyopita nilianza kuona manadiliko kwa mama watoto ila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.