misime

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. JanguKamaJangu

    GE2025 Misime: Wanaohamasisha maandamano kwa kutumia akaunti feki tutawatambua tu

    “Wanaohamasisha maandamano kwa kutumia akaunti feki wasifikiri hawawezi kutambulika, watatambulika tu, Watanzania wengi ambao ni wema wanaoipigania amani watatuambia tu huyu siyo. “Tukio kama hilo lilishawahi kutolewa siku za nyuma na walitambulika na wakachukuliwa hatua.” Hiyo ni kauli ya...
  2. JanguKamaJangu

    GE2025 Misime: Wanaotaka kuandamana waishie kuandamana hukohuko kwenye mitandao

    Msemaji wa Jeshi la Polisi nchini Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) David Misime, akihojiwa na Kituo cha UTV, leo Jumanne Oktoba 14, 2025 amesema: “Sheria ipo wazi wanaotaka kuandamana kinyume cha Sheria watachukuliwa hatua, Jeshi la Polisi tupo imara na tupo tayari kuwalinda Watanzania wema kwa...
Back
Top Bottom