Rais Samia amekuwa akisisitiza Watanzania kudumisha amani na mshikamano, akiwahimiza kutanguliza utaifa mbele ya tofauti za kikabila, kisiasa na kidini,Katika hotuba zake nyingi, amekuwa akisisitiza kauli mbiu ya Kazi iendelee kwa mshikamano wa Watanzania wote,akimaanisha kila mmoja ana nafasi...