Mwili wa mwanamke ambaye hajatambulika jina, umepatikana leo Oktoba 10, 2025 katika eneo la Coco Beach, Dar es Salaam.
Musa Miamba, Mwenyekiti wa Utunzaji wa Mazingira eneo hilo, amethibitisha kupatikana kwa mwili huo.
Mwili umechukuliwa na Jeshi la Polisi kwa ajili ya taratibu za kuhifadhi na...