Habari wadau poleni na mihangaiko ya kilasiku.
Moja kwa moja kwenye mada.
Leo asubuhi kama kawaida niliamka nikawa nashida ofisi moja wapo ya serikali nikapita nyumba ya jirani yangu nakuta mwanamke amekaa nje na mwanaume yupo ndani anaongea.
Kwahali nilivyoiona nilijua hakuna usalama hapa...