michuano ya kimataifa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Fundi mahiri wa Ujenzi

    Wataalam na wachambuzi wa soka tunaomba uchambuzi wenu juu ya timu zetu nne zinazoshiriki michuano ya kimataifa

    1. YANGA: Sisi tusiojua soka ila ni mashabiki, tuanaona yanga wana wachezaji wazuri, wasiwasi kwa kocha. Je wachambuzi na mnaojua mpira huyu kocha atawavusha YANGA kweli? 2. SIMBA: Sisi tusiojua soka ila ni mashabiki, tunaona simba inawachezaji wa zuri na imeimarika tofauti na misimu miwili...
  2. Vincenzo Jr

    FT: Yanga 0-0 MC Alger | CAF Champions League | Estadio Benjamin Mkapa | 18.01.2025

    Gusa. Achia. Twenda kwao. Ni ligi ya mabingwa Afrika, Yanga wakiwa nyumbani watawakaribisha MC Alger katika mchezo wa mwisho wa makundi. Ni mchezo ambao Yanga atahitaji kushinda ushindi wa aina yoyote ile ili kuweza kufuzu robo fainali. Yanga imekuwa na fomu nzuri ya matokeo kwa mechi za...
  3. Waufukweni

    Elia Mpanzu ni rasmi kuitumikia Simba kwenye michuano ya kimataifa, kuanza na CS Sfaxien Jumapili hii

    Klabu ya Simba SC imefanikiwa kumuingiza winga wake mpya, Elie Mpanzu, kwenye mfumo wa usajili wa CAF, hatua inayomruhusu kuichezea timu hiyo katika mechi za Kombe la Shirikisho (CAF Confederation Cup). Kwa mujibu wa taarifa, Simba SC imepata leseni ya Mpanzu baada ya kumjumuisha kwenye usajili...
  4. Majok majok

    Michuano ya Kimataifa wawili washanyolewa bado mmoja yupo njiani, na atabaki mmoja anayejielewa

    Siku zote mpira unachezwa hadharani na sio propaganda uchwara, ukipanda mahindi utavuna mahindi na sio bangi, ukiwekeza kwenye mpira utalipwa sawasawa na ulivyowekeza. Tumeona timu 4 zinashiriki mashindano ya kimataifa msimu huu na tayari timu 2 zimeshayaaga mashindano rasmi, zimebaki timu 2...
  5. Mkalukungone Mwamba

    Uwanja wa Azam Complex kutumiwa na vilabu 6 michuano ya kimataifa msimu 2024/2025

    Idadi ya timu sita zinazoshiriki mashindano ya klabu Afrika yatakayoanza mwishoni mwa wiki hii zitatumia Uwanja wa Azam Complex kwa mechi zao za nyumbani. Sababu tofauti zimechangia kuzifanya timu hizo kuchagua uwanja huo unaomilikiwa na Azam FC ambazo ni usalama duni katika baadhi ya nchi...
Back
Top Bottom