Niseme kwamba sijapendezwa na wachezaji wa Tanzania pamoja na benchi la ufundi kutaka kuvunja Amani
Refa kachezesha kwa Amani wanataka nini tena?
Kuandamana, kwa lipi? Eti kudai haki, haki gani hiyo? Wasubirie mpaka miaka ijayo hakutakuwa na nyunywinyi wala nyunywinyi