Salaam Wakuu,
Hadi sasa sijapata Orodha ya Mtu yeyote wa kitaifa kuhudhuria Msiba wake. Japo alliwapania. Hata IGP hatakuwepo.
Huyu Muhaya kesho Tarehe mbili anazikwa Bukoba Mkoani Kagera.
Huyu Jamaa aliua ndugu yetu, waandishi wetu Daud Mwangosi kwa sifa. Sasa anaenda peke yake kaburini...
Naibu Kamishna Mstaafu wa Polisi (DCP) Michael Kamuhanda amefariki Januari 29, 2026 majira ya Asubuhi katika Hospitali ya Bugando Jijini Mwanza alikokuwa anapatiwa Matibabu.
Huyu jamaa alokufa alizaliwa 1954
MY TAKE
Huyu jamaa ndo aliamuru Mwandishi wa Habari wa CHANNEL TEN, Daud Mwangosi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.