17 September 2025
#BREAKINGNEWS! Umoja wa Mataifa Waibana Vikali TANZANIA Kuhusu UONEVU Kwa LISSU na MDUDE Kutekwa
https://m.youtube.com/watch?v=SgApzTckEaA
Source : JasusiTV
UN UMOJA WA MATAIFA YASEMA TANZANIA KUPELEKWA MAHAKAMA YA ICC THE HAGUE UHOLANZI IKIWA BARUA YAKE ITAPUUZWA
UN kesi...
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Mkoa wa Mbeya Kusini magharibi mwa Tanzania kimetangaza kuvunja rasmi kambi iliyokuwa imewekwa kushinikiza kupatikana kwa kada wao, Mdude Nyagali aliyetoweka tangu Mei 02, 2025.
Mdude anadaiwa kuvamiwa na kupigwa nyumbani kwake mtaa wa Iwambi jijini...
Harakati za kumsaka mahali alipo kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Mkoa wa Mbeya, Mdude Nyagali zimeendelea kushika kasi. Makada na viongozi wa Chadema wameendelea kuweka kambi kwenye ofisi za chama hicho, sasa wametangaza dau la Sh10 milioni kwa mtu yeyote atakayetoa taarifa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.