Tumefuata utaratibu wote katika harakati za kupambania haki yako kabla ya kutekwa mara ya mwisho kabisa, ila kila mamlaka ilikuwa inatuona kama tunacheza, sisi hatuna thamani, uhai wetu hauna thamani yani tupo tupo tu.
Wanatuibia pesa zetu, wanauza rasilimali zetu, na bado wanatuteka na...
Wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), wamedai kuwa wataendelea kuandamana kwenda Ofisini kwa Mkuu wa Upelelezi Mkoa wa Mbeya kwa lengo la kumpa ushahidi wa watu wanaodai ni askari wamehusika na tukio la kumteka na kumjeruhi Mpalukwa Nyagali, maarufu Mdude na kuwataka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.