mdahalo wa kisiasa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Kisaka: Mdahalo Wa Kisiasa Hauwezi Kufanyika Bila Usawa wa Vyama

    Meneja wa Huduma za Utangazaji katika Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Mhandisi Andrew Kisaka, amesisitiza kuwa midahalo ya kisiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2025 lazima izingatie usawa na weledi ili isiwe na kasoro zinazoweza kupotosha taswira ya uchaguzi. Akizungumza Agosti 16, 2025...
  2. Tlaatlaah

    PreGE2025 Nini kilichosababisha Tundu Lissu kukwepa mdahalo wa kisiasa na mzee Wassira kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba?

    Kwamba pamoja na uzee wake, Lakini kumbe makamu mwenyekiti wa CCM bara, mzee Stephen Wasira ni vibrant, powerful na influencial politician, kiasi kwamba mtu anaejiita msomi, mwenye mdomo na makelele mengi kula kona na kukacha fursa hiyo muhimu ya kujipambanua kwa umma? Ndugu mdau, Tundu Lisu...
  3. Wafuasi wa Rais

    PreGE2025 Tufanye Midahalo kuhusu itikadi za kisiasa nchini au mafanikio ya Rais Samia Awamu ya 6

    Mdahalo uwe live hapa hapa JF. Jukwaa la kisiasa la JF sasa liwe la midahalo ya kisiasa hapa nchini Tanzania. Mada mojawapo kati ya hizi mbili, au zingine vile mtakavyoona: 1 - Itikadi za kisiasa ubaya na uzuri wake. Sisi kama Mtandao wa Wafuasi Binafsi wa Rais yaani President Supporters...
Back
Top Bottom