Wakuu!
Klabu ya Yanga wamefuta post ya kuomba radhi, ambayo ilikuwa ikihusu mchango wa Shilingi milioni 100 uliotolewa kwa CCM.
Soma > Yanga wasema mchango wa Milioni 100 kwa CCM ulitolewa na GSM Foundation, Sio Fedha za Klabu
Post ya barua hiyo ilisisitiza kuwa fedha hizo hazikutoka kwenye...