Rais Samia Suluhu Hassan ametoa Sh 50 milioni kuchangia ujenzi wa Kanisa Katoliki Parokia ya Maria Mtakatifu Mwana wa Mungu, Kabwigwa Wilaya ya Kibondo mkoani Kigoma.
Mbali na Rais kutoa kiasi hicho, fedha zilizochangishwa kwenye harambee ya ujenzi wa kanisa hilo ni Sh250.2 milioni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.