Huyu Jamaa anaitwa Mtulia aliyekuwa Mbunge wa Kinondoni 2015-2020.
Mwaka 2017 alijiuzulu ubunge na akahamia Ccm .
Wakati wa uchaguzi mdogo chadema walinyimwa viapo kwa mawakala wake.
Na ndipo waliandamana na mwisho kikatokea kifo cha Akwilina.
Naomba kujua ile dua na karma imeshamfikia...
Wakuu,
Leo nilikuwa naangalia wasifu wa Mbunge wa Temeke, Dorothy Kilave na itoshe kusema kuwa Lissu alikuwa sahihi kabisa kuhusu hawa wabunge wa viti maalum.
Huyu Dorothy Kilave yeye alikuwa ni diwani wa viti maalum kupitia CCM mwaka 2011 hadi mwaka 2015. From there akashika nafasi tofauti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.