Mbunge Tauhidi kutoka Zanzibar alishauri serikali imalizane na Kenge wa ndani
Tunajiuliza hao kenge wa ndani ni akina nani?
Na anataka serikali imalizane nao vipi?
Hivi mbunge anafikia hatua yakuita Watanganyika kenge, anajielewa kweli?
Kwanini aite Watanganyika kenge?
Anataka serikali...