Mwanasiasa wa Upinzani, Robert Kyagulanyi, amechukua fomu Tume ya Uchaguzi ya Uganda kwa ajili ya kuwania kiti cha urais 2026.
Kyagulanyi, ambaye aliwakilisha jukwaa la Umoja wa Kitaifa katika Uchaguzi uliopita, amesisitiza nia yake ya kuwania Urais wa Uganda.
Kyagulanyi, Mwanamuziki...