mbinu za matapeli

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Davidmmarista

    Mjini kumejaa wahuni na matapeli. Jamaa yangu alisingiziwa kumvunjia mtu iPhone 13 Pro Max

    Siku moja jamaa yangu mmoja kutoka kijijini alinipigia simu akaniambia, "Kaka, nimefika mjini!" Nikamuuliza, "Umefika wapi?" Akasema, "Posta, daraja la Salender Bridge." Nikashangaa, maana sikuwahi kumwambia aje huko. Nikamuuliza tena, "Nani amekuambia ushuke huko?" Akajibu, "Konda wa daladala...
  2. The Lost Boy

    Mbinu mbalimbali wanazotumia matapeli kutapeli watu

    Mwaka 2012 saa tatu usiku hivi, nikitembea pale Zakhem nikitafuta daladala za Chamazi. Na ule uharaka wa kutembea ghafla nikajikuta kama nimemkanyaga bwana mmoja (alijikanyagisha sikujua). Basi akanishika begani huku akitweta kwa ghadhabu kuu "kwanini unanikanyaga bro, wajikuta nani labda... "...
Back
Top Bottom