mawakili wa chadema

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Just Pray

    Jopo la Mawakili wa Said Issa Mohamed watoa tamko wakisisitiza CHADEMA haitakiwi kujihusisha na siasa

    Jopo la Mawakili wa Makamu Mwenyekiti Mstaafu Wa Chadema- Zanzibar, Said Issa Mohamed na Wenzake ambao ni Mawakili Waandamizi Shabaan Marijani, Gido Semfukwe Na Alvan Fidelis Wamesema Chama cha Demokrasia Na Maendeleo (CHADEMA) Bado hakitakiwi kujihusisha na masuala ya siasa na kutumia mali za...
  2. Waufukweni

    GE2025 Mawakili wa CHADEMA wajibu mapigo Mahakama kuzuia shughuli za Chama, Wadai Msajili hana mamlaka ya kutafsiri hukumu au amri ya Jaji

    Mawakili wa CHADEMA wanaijibu Mahakama kuhusu zuio la viongozi wa chama hicho kufanya shughuli za kisiasa na kutumia mali za CHADEMA. https://www.youtube.com/watch?v=CWE21IAhJ9A Baada ya Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala ndogo ya Dar es Salaam, kutoa ufafanuzi kuhusu utekelezaji wa amri ya...
  3. Waufukweni

    PreGE2025 Amani Golugwa aachiwa kwa dhamana, Viongozi wengine waachiwa pia na kutakiwa kuripoti polisi kesho

    Wakili msomi Dickson Matata kwa kushirikiana na jopo la mawakili wa CHADEMA, wamefanikiwa kupigania haki ya dhamana kwa Naibu Katibu Mkuu Bara, Amani Golugwa, ambaye alikamatwa usiku wa kuamkia leo Mei 13, 2025 katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) na kushikiliwa katika...
  4. Erythrocyte

    Ijue Timu ya Mawakili wa Chadema "THE WOLVES" Iliyohakikisha Tundu Lissu analetwa Mahakamani, Mpale Mpoki ni Ingizo Jipya

    Kwa Kinyakyusa, Mpoki ni sawa na neno la kiswahili linalotamkwa Mwokozi, Muokoaji au Tegemeo la Watu. Huyu Mpale Mpoki ndio Ingizo jipya ukilinganisha na ile timu iliyopambana kwenye kesi ya Ugaidi Iliyomkabili Freeman Mbowe, anatajwa kama Graduate wa Chuo Kikuu wa Mwaka 1985, ni Wakili...
  5. B

    Kupunguza nguvu ya CCM, mawakili wa CHADEMA pelekeni baadhi ya viongozi wa serikali mahakamani

    Kwa nchi ilipofikia bila hatua madhubiti, viongozi baadhi wa serikali wanaweza kuamua jambo lolote hatari la kuhumiza watanzania wenzao kwa kisingizio Cha kulinda amani ya nchi. Wanasahau pasipo HAKI kutamalaki hiyo AMANI wanayo ubili ni sawa na kusukuma UPEPO. Baadhi ya viongozi wa CCM...
  6. comte

    Kesi za mawakili wa CHADEMA ni ishara ya CHADEMA kushindwa kufanya siasa

    CHADEMA walilamika kunyimwa fursa ya kufanya mikutano- wakapewa. Walichofanikiwa kikubwa ni kutufahamisha Samia ana mtoto anaitwa ABDUL. Sasa kwa kuwatumia wanachama wao waliojificha kwenye uwakili wamegeukia mahakamani kwa kufungua kesi zisizo na kichwa wala miguu. Lengo lao ni kuichafua...
Back
Top Bottom