Kwakweli ukiwa ni msomaji magazeti na mitandao ya kijamii na vyanzo mbali mbali vya taarifa lazima utastuka hali imekua mbaya wandugu? Kulikion Watanzania! Nini kimezikumba hizi ndoa au haya mahusiano?
Mbaya zaidi mpaka watu wenye umri mkubwa wameingia kwenye mkumbo huu!
Hali ni mbaya mno tena...