mauaji ya mfanyabiashara

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mwanza: Wanne mbaroni utekaji, mauaji ya mfanyabiashara wa madini

    Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza linawashikilia watu wanne kwa tuhuma za kumteka na kumuua mchimbaji wa madini ya dhahabu, Nestory Marcel Inda (61), mkazi wa mtaa wa Stamico-Katoro, Wilaya na Mkoa wa Geita, ambaye mwili wake ulitupwa katika Ziwa Victoria eneo la Mwalo wa Thale, Wilaya ya Ilemela...
  2. B

    Aliyemtishia Nape Bastola ni kati ya waliohukumiwa kunyongwa kwenye kesi ya mauaji ya mfanyabiashara wa madini. Je, kuna lililojificha?

    Wakuu, Jana Juni 23, 2025 hukumu ya kesi ya mauaji ya mfanyabiashara wa madini ilitolewa, ambapo askari wawili kati ya saba walioshtakiwa walihukumiwa kunyongwa huku watano wakiachiwa huru. Kati ya hawa waliohukumiwa kunyongwa ni bwana Gilbert Kalanje ambaye alikuwa Mkuu wa Upelelezi wilayani...
  3. Simulizi: Mauaji ya Mfanyabiashara Musa Hamis Mtwara, Machozi na Damu

    Dar/mikoani. Ni machozi ya damu, ndivyo unavyoweza kueleza katika simulizi ya vifo vya mfanyabiashara wa madini, Mussa Hamis anayedaiwa kuuawa na maofisa wa polisi, huku ofisa wa jeshi hilo, Grayson Mahembe aliyekuwa akishikiliwa kwa tuhuma hizo akidaiwa kujinyonga hadi kufa akiwa mahabusu...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…