Mashirika ya Kiraia yameandamana nje ya Ubalozi wa Ufaransa, kupinga ziara ya Rais Emmanuel Macron ambayo imepangwa kufanyika baadaye wiki hii
Waandamanaji wanaishutumu Ufaransa kwa kuegemea upande wa Rwanda, ambayo imekuwa ikihusishwa na kuunga mkono kundi la waasi la M23 wanaoshambulia Raia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.