Nani ambaye hajatazama mchezo wa horoya dhidi ya simba, horoya wakiwa nyumbani??
Kosa kosa ya magoli laiti Kama simba wangekuwa na washambulizi hatari Kama fistoni kalala mayele au hata Clement mzinze hakika simba ingepata ushindi mnono.
Lakini kutokana na kikosi duni Cha simba waliambulia...