Kwa hesabu za haraka haraka nilizopiga, kwa kutumia known constants za mzunguko wa dunia, ni kwamba baada ya miaka milioni 200 ijayo kutoka sasa, siku moja itakuwa na masaa 25 badala ya masaa 24 ya sasa.
Hii inamaanisha kwamba, viumbe kama dinasours walioishi miaka milini 200 iliyopita, siku...